1
Jumatatu,
wezi
walikuja
kijijini.
Watu
wakapiga
mayowe.
“Tunataka
dhahabu!”
wezi
wakasema.
Watu
walipatwa
na
wasiwasi.
Watu
wakasema,
“Hatuna
chochote
cha
thamani.”
Polisi
walifika
hapo.
Waliwashika
wezi
na
kuwatia
pingu.
Wezi
walipelekwa
gerezani.